WAZIRI MKUU AUNGANA NA MAMIA KUMUAGA MREMA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kumkumbuka Mhe. Augustino Lyatonga Mrema kutokana na mchango wake mkubwa wa kuendeleza mahusiano na vyama vya siasa. “Mheshimiwa Mrema atakumbukwa kama kiongozi mkuu wa Chama cha TLP kwa muda mrefu sana. Na akiwa katika siasa, aliisaidia Serikali kupata mwelekeo mzuri wa vyama vya siasa,” amesema Waziri Mkuu. Ametoa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed